MTENDAJI WA KIJIJI III

public administration and governance Industry
Responsibilities

• Afisa Masuuli na mtendaji mkuu wa serikali ya kijiji;
• Kusimamia ulinzi na usalama wa raia na mali zao, kuwa mlinzi wa amani na msimamizi wa utawala bora katika kijiji;
• Kuratibu na kusimamia upangaji wa mipango ya maendeleo ya kijiji;
• Katibu wa mikutano na kamati zote za Halmashauri ya kijiji;
• Kutafsiri na Kusimamia Sera, Sheria na Taratibu;
• Kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa, umaskini na kuongeza uzalishaji mali;
• Kiongozi wa wakuu wa vitengo vya klitaalam katika kijiji;
• Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na nyaraka za kijiji;
• Mwenyekiti wa kikao cha wataalam waliopo katika kijiji;
• Kupokea, kusikiliza na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi;
• Kusimamia utungaji wa Sheria Ndogo za kijiji; na
• Atawajibika kwa Mtendaji Mkuu wa Kata

Qualifications

• Kuajiriwa mwenye Elimu ya kidato cha Nne(IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo: Utawala,Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

Job Details


public administration and governance
local governance
N/A
Full Time
Administration
6
1 Year
Monthly
No
  • Date Posted:
    7th Oct, 2024
  • Location:
    Kilosa , Morogoro, Tanzania
  • Expires On:
    16th Oct, 2024
  • Job Skills:
    Kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kutunza kumbukumbu za walipa kodi wote, Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na nyaraka za kijiji
Share This Job
Company Overview
Halmashauri ya wilaya ya Kilosa
Tanzania
1 Open Jobs

Kilosa District Council is located in the Morogoro Region of Tanzania, approximately 300 kilometers from Dar es Salaam. The district is characterized by diverse geographical features, including mountains, the Ruaha River valley, and fertile agricultural land. It borders other districts such as Kilombero and Mvomero, making it a vital area for trade and connectivity.

Historically, Kilosa was established as part of the local governance system, focusing on community development and service delivery. The district has a rich agricultural base, with key crops including maize and rice, contributing significantly to the local economy. Additionally, Kilosa offers tourism opportunities due to its natural beauty and cultural heritage.

The local government structure comprises village executives and councilors dedicated to managing resources and implementing development plans. Despite its potential, Kilosa faces challenges such as inadequate infrastructure, limited access to education and healthcare, and the impacts of climate change on agriculture. The council collaborates with community members and stakeholders to address these issues and enhance the quality of life for its residents.

Related Jobs

;